Thursday 29 November 2012

CHOKA MBAYA, MWILI NA ROHO

Nilivyonuna sasa kisa nimelazimishwa kuwepo kazini mpaka saa moja usiku

Cheka kidogo basiii maana kununa hakutakusaidia ndo ushabaki hivyoo

Nipishe hukoo mi nina mi hasira yangu.

Bye bye people, see you next time. Nywele sasa, chakala chakala baya

I WANT I WANT

Tuesday 27 November 2012

REST IN PEACE SHARO MILLIONEA, GONE TOO SOON

BWANA AMETOA NA BWANA AMETOA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, TULIKUPENDA ILA YEYE ALIYE MWAMBA WA KILA KITU AMEKUPENDA ZAIDI. PUMZIKO LA MILELE UMPE EEEE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE, APUMZIKE KWA AMANI AMEEEEN 

GOOD MORNING MY GOOD PEOPLE

Chibonge weeeeeeeee

Hi there, niacheni mnyamwezi wa watu nipige picha, mnanisalimia nini??

Ndo nshanuna sasa

basi hasira yangu imeisha, nabatasmu kiduuuuchu

Huyu camera man huyu sometimes simuelewi ujuee

Wacha wee pozi hilooo

Nywele zetu hizi za bei nafuuuu ila zimependeza mwakweru

Hapa ndo sikujua mpiga picha alikuwa na lengo gani me nimeikuta tu kwenye camera nami nimeitumia



Uso wenyewe ulivyo mbaya halafu kanuna, kaaazi kweli kweli

Afadhali kidogo

Monday 26 November 2012

MY WEEKEND LOOK

SATURDAY, NATURAL ZAIDI

Nilikuwa receptionist kwa muda, unapendezaje ukikaa kwenye kazi za watu?? full kuchanganya maneno na namba

Did you see my jinja?? i love love

Nimetoa macho kama mjusi kabanwa na mlango sio kupenda nishaharibu hapo

Kama mwanamke vileeeee, hadi raha

SUNDAY LOOK, JINJA KULEEEE

Nikiwa njiani kuelekea

Uso mkavuu, mimacho sasa

Wacha wee pozi hiloo


Macho makavuuuu


Kwani umelazimishwa kupiga picha?

uso umenonaje sasa?

Tabasamu la kichokozi 

Baadaye nikabadilika kuwa hivi, nilikuwa naenda Dragonairs kwenye sherehe ya kuwaaga wageni waliokuja kikazi kiwandani kwetu

Kiss kiss

 Nazipenda sana hizi hereni

Wewe tulia basi japo kidogo mbona una haraka? sura mbayaaa

Sielewi sijui mpiga picha kalewa

Uongo mtupu kicheko gani hiki?

Somehow!!!

Naughty

Nimemalizaaaaaaaa, see ya

Friday 23 November 2012

IJUMAA KAREEM

Ijumaa hii nimeamua kutoka tofauti kidogo

Kama mwanamke vileeee

Aaaaaa chibonge huyooooo



Mashavu sasa utafikiri nimeficha nyama

Mpasuo wa kishkaji


Khalat

I MISS MY FELLOW TEAM MATES

SHIMMUTA TANGA 2009

HII NDIO ILIKUWA TIMU YA KWANZA YA NETBALL YA ALLIANCE ONE

KUNDI AMBALO SIWEZI KULISAHAU TULIKUWA KAMA TUMETOKA FAMILIA MOJA.

POZI LA KIZAMAAANIIII

HAPA NILIKUWA NAONGOZA MAZOEZI KABLA YA MECHI

I MISS YOU GUYS, ILA NITAPIGANIA TURUDI HIVI TENA

Hii ni experience ambayo siwezi kuisahau, tulivuta kamba tukatoka droo mara 2 ikamuumuriwa tuvute kwa mara ya mwisho na atakayevutwa anatolewa, tukafanikiwa kuvuta ila hii ilikuwa ndio mara yetu ya kwanza kuvuta kamba. kesho yake tulikuwa na mechi ya netbal na CDA Dodoma. tulifungwa 37-5 maana tuliamka wagonjwa wooote. nikaapa kuwa sitavuta tena kamba na hivi nilikuwa najifanya baunsa!!

Mbayaaaaa na ndio maana waliniweka mbele ili nitishie tunaovutana nao.

Mtanisamehe kwa quality ya picha

Unaweza ukakubali kweli kuwa huyu alipo hapo mbele ni mwanamke?? kuna mmoja aliwahi kumuonyesha mwanae kuwa huyu dada ndio tuliyekuwa nae kwenye zile picha za kamba, mtoto akamwambia tena mbele yangu mama mi nilidhani yule mwanaumeee.

Kocha Maganga akituhamasisha, ni mwalimu bora kati ya walimu tuliowahi kuwa nao

Wacha weeee, me simooo


SHIMMUTA ARUSHA 2010


My fellow

My family

Kwenye mashindano haya tuligoma kabisa kuvuta kamba, ilikuwa ni netball tu. hatukutaka shida ya kuumwa na kufungwa magoli kama mmesimama.

Nikitimiza wajibu wangu kama nilivyotumwa na kampuni, chezea mimi weweeeee

Siku hii nilikuwa na pilika pilka za kutosha nakumbuka huyo GK nyuma yangu ndo alikuwa na mimi na kunifanya nikae nje mpaka mashindano yanakwisha. hii ilikuwa mechi ya robo fainali

Nachechemaaaaaaa

Nikipatiwa huduma ya kwanza

GA wetu Jamila Sabu akiwajibika. ilikuwa combination nzuri sana uwanjani

MEI MOSI MOROGORO 2011

Kwenye mashindano haya nilikuwa busy na kazi kwa hiyo sikushiriki kivile sana, nilisimama kama kiongozi tu

Happy family


LIGI DARAJA LA PILI DODOMA 2010
Hapa tulicheza tulivyoweza tukaambulia nafasi ya nne na walikuwa wanapanda watatu tu, nitahakikisha tunarudi hapa tena.
LOVE YOU ALL GUYS AND MISS YOU MUCH