Thursday 29 January 2015

UREMBO.COM

 
 
 

IGA IGA MPO??


 


 



HIVI WANATOAGA WAPI HAYA MANENO??









ETI KWELI?? KUWA SIMBA BILA OKWI HAIWEZEKANI?? MAPOVU YASIKUTOKE BUREEE

 
 










KIPINDI CHA PILI KIKIWA KINAENDELEA




MASHABIKI WAKIWA WANAFUATILIA MECHI KWA UKARIBU














MBEYA CITY WAKIWA WAMEPATA GOLI LA PILI




MBEYA CITY FC WAKISHANGILIA GOLI LAO LA PILI
 









MASHABIKI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WANASHANGILIA GOLI LA PILI






KOCHA MKUU WA MBEYA CITY FC BWANA MWAMBUSI WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO AKIFUATILIA MECHI KWA UMAKINI.




MASHABIKI WA SIMBA WAKIWA WAMEPOA BAADA YA M BEYA CITY FC KURUDISHA GOLI




MASHABIKI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WENYE FURAHA









HAPA ILIKUWA NI PATA SHIKA NGUO KUCHANIKA BAADA YA SHABIKI WA SIMBA KUINGIA ENEO LA MASHABIKI WA YANGA.




MPIRA UMEKWISHA




WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WANATOKA NJE YA UWANJA BAADA YA MPIRA KWISHA




WACHEZAJI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WANATOKA UWANJANI BAADA YA MPIRA KWISHA









MASHABIKI WALIO TOKA MBEYA KUSHANGILIA MBEYA CITY FC WAKIWA NJE YA UWANJA WAKIENDELEA KUSHANGILIA MPIRA.

PICHA CREDIT: MSIKECORNER BLOGSPOT

MAHABA NITEKETEZE, DUH!!

Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:
Baada ya kuzuka tetesi kuwa alimdunda vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi.

“Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga mie mjeuri tu, mnao muhandama mme wangu mmeshindwa, kugombana ni kawaida sana kwenye mapenzi na kama nliwaudhi mashabiki wangu mnisamehe mie nampenda mme wangu.”
Naye Nuh Mziwanda aliandika:

Mwanaume lijali aliekamilika ampigi mpenzi wake wala kurudishia kibao au kofi alilopigwa na mpenzi wake.naamini kwenye mapenzi ya kweli wivu lazima na kugombana kwenye mapenzi ni kama kwenda chooni ni swala la kawaida sana.aaaaaaaya mke wangu nimekup rukhsa nipige mpaka nikome.ila all i know its love dats it.Nawapenda Mashabiki wangu pamoja sana .#zimaTaa sie tayar
 

Tuesday 27 January 2015

MMMMMMMMH!!!

viralitynet_thumb

 
 
images (2)
Hakujali kwamba atapigwa na ng’ombe, alipiga Selfie yake huku anakimbizwa.
elcomercio.pe_thumb
download
Huyu alipiga Selfie na papa.
amusingplanet_thumb
Hawa walitumia Selfie stick, juu kabisa ya ghorofa.
ptbr.facebook_thumb
Hii Selfie ilipigwa angani.
rollingstone_thumb
Huyu alipiga akiwa juu ya Jengo refu.
thefunnybeaver_thumb
Huyu alipiga na twiga.
thephotobrigade_thumb
Huyu alitumia Selfie stick akiwa angani na parachute.
thestival.gr_thumb
Hii ni kutoka juu ya Jengo refu.
viralitynet_thumb
Huyu alitumia Selfie stick akiwa kwenye Helicopter.
aplus_thumb
Hapa kwenye pozi na chui.