Friday 28 August 2015

INAUMAAAAA!!! ROHO ZA MAREHEMU ZIPATE REHEMA KWA MUNGU, ZIPUMZIKE KWA AMANI.










Moto ulianza kuwaka saa 9 vijana wawili wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 Aisha na Ahmed walisimama Mlangoni kuomba Msaada walifungua mlango mbao ukabaki wa Grill ambao walishindwa kuufungua majirani akiwemo Salama Ally Mjumbe wa Malapa wakawaaambia Aisha na Ahmed leteni funguo Aisha na Ahmed wakaleta funguo lakini majirani wakashindwa kufungua kwani geti la Grill lilikua limeshika moto.

Baaada ya jitahidi za kuokoa na kujiokoa kushindikana ndipo watu wote tisa waliopo ndani wakaamua kukaaa chumbani kwa Bibi yao anaeitwa Bim Mdogo na Bim Mdogo akawakumbatia na huo ndo ukawa Mwisho wa uhai wao.

Waliofariki ni


Samira - Mama mwenye nyumba
Aisha - Mtoto
Ahmed - Mtoto
Abdallah
Ashraph
Bim Mdogo - Bibi
Wadh ha na mwanae walikuja kutembea akiwa na mfanyakazi wake wa kike.


Thursday 27 August 2015

MMMMMMH HAYA SASA MAKUBWA


Williammalecela.com 
Hapa mjini Dar imethibitishwa kwamba kuna mwananchi aliyeukodi uwanja wa Jangwani kwa ajili ya matumizi ya kumfundishia Baiskeli Mkewe ila aliwahi Wiki Tatu kabla ya UKAWA, habari hizi zinasema mwananchi huyo aliyekataa kutajwa jina lake ameonekana akitabasamu sana leo alipohojiwa kwamba kwa nini asiwaachie UKAWA kutumia Uwanja huo Jumamosi, alisema imekuwa ndoto yake ya muda mrefu sana kumfundisha Baiskeli Mkewe wa ndoa ya Miaka 2 na amesema amesoma kwenye utabiri wa hali ya hewa kwamba Jumamosi kutakuwa Jua kidogo na upepo unaoweza kusaidia sana kwenye mafundisho yake ya Baiskeli kwa mkewe.
 
 
 
 

Thursday 20 August 2015

HAHAHAHAHAHA MIMI SIMOOOOO


DUH!! KAPATIKANA


Documentaries have made us believe that lions and lionesses are invincible, hunting down wild animals as they wish. Perhaps that’s true to some extent, but this lioness at the Governors Camp in Maasai Mara has a story to tell.



Siena was injured badly on her left lower flank on Friday by a buffalo horn. The wound was deep with the skin sheath being fleeced but luckily no perforations to the stomach wall or any bone dislocation.

She was found by a driver on Friday morning, who immediately alerted the rangers. A vet was flown from David Sheldrick Wildlife foundation in Nairobi, and treatment started that afternoon.

The lioness was treated and stitched in an operation that took one and a half hours. She’s now doing quite well, and should be back hunting soon. Incredible!
 

Thursday 6 August 2015

NAOGOPAJEE??? NAONA KAMA ATAANGUKIA TUMBO VILE




Julia Sharpe is a mom of twins, a mechanical engineer, and competes in men's gymnastics. Impressive photos of her doing handstands, as well as gymnastic exercises on the rings and parallel bars while 7 months pregnant with twins have emerged and they are a must-see! Dear men, would you let your wives try this at home when they are this heavy? See more photos below...









 
 
 
 
 
CREDIT:BLOGU YA WATU

MAMBO YANAANZA KUWA MAMBO, UONGOZI NYIE CHUKUENI ILA AMANI YETU TUACHIENI

 
 
 
Lipumba anasema UKAWA ilianzishwa kwa lengo la kusimamia rasimu ya katiba mpya kutokana na maoni ya wananchi sasa wenzetu wamegeuza UKAWA kwa kuleta mtu ambaye alishiriki kupitisha katiba pendekezwa ambayo siyo maoni ya wananchi hivyo kiongozi atakayeshinda kupitia UKAWA hawezi kusimamia maoni ya wananchi ya rasimu iliyopendekezwa na Warioba.