Wednesday, 11 September 2013

Laana: Babu mwenye watoto nane atarajia kufunga ndoa na mbuzi

Mzee mmoja anayejulikana kwa jina Aparecido Castaldo mstaafu kutoka Jundiai Brazil ameacha watu hoi kwa mshangao baada ya kutangaza nia yake ya kufunga ndoa na mbuzi wake mpenzi Carmella ambae kwa mwaka wa pili sasa anamzimia!

Babu huyo mwenye miaka 74 Aparecido ana watoto nane wanne wa kike na wanne wa kiume kutoka kwenye ndoa nne tofauti!

Anasema mbuzi ana faida na nafuu kuliko binadamu wa kawaida "Mtu anaponiona nafanya kitu kibaya au cha ajabu huwa namjibu huyu ni mbuzi..haongei,haombi hela kwa ajili ya shopping na hapati mimba pia" amesema babu huyo.

Kwa sababu hakuna kiongozi yoyote wa dini atayekubali kushiriki katika ndoa hiyo,wawili hao watafunga ndoa katika kanisa linaloabudu dini ya kishetani au unaweza kuita Igreja do Diabo october 13 huko katika mji wa Jundiai Brazil.
 Mbuzi huyo Carmelita alikula gauni lake la harusi alilonunuliwa mara ya kwanza lakini mume wake mtarajiwa amenunua lingine.
Source:mamuafrica.blogspot

NIMEIKUTA MAHALI HII PICHA, NIKAIPENDA NIKAONA NISHIRIKI NAWE.


VITUKO SHOW.COM

MWEEEH MIMI HUYOOOO

ANADAI ETI ANAKUMBUSHIA ENZI ZILEEEE

MIMI SINA SWALI

WEEE HEBU PIGA PICHA UNYAYO WANGU ALAAA

HAIJALISHI WE KAMUA TU KWANI SI VYANGU????

KWI KWI KWI MAMIE MWALI NA MWENYEKITI WANAIMBA KWAYA AU??

UHARIBIFU.COM


MAPENDO.COM


MAPOZI JAMANI

HAPA 3K ULITAKIWA NAWE UMTAZAME MWENYEKITI KWA CHATI

NAULIZA TENA KUNA MWINGINE WALIMSAHAUU??

SIJAELEWA HILI POZI KWA KWELI

MTOTO WA KICHAGA KAREMBUA JAMANI

DALILI ZA KUCHOKA

I LOVE THE PIC

SI MUENDE KWANI MMEZUIWA KWENDA??


MSOSI TIME HAPA KILA MTU ALIJAZA KWA KADRI YAKE

HII SAHANI YA JOYCE

UMEMUONA EEEEEEEE

WENGINE WALIONA WAKIKAA KWENYE KITI AKITASHUKA VYEMA

MWENYEKITI YEYE ALIONA BORA AKAE KARIBU NA MASUFURIA ILI AONGEZE KINYELE

KOH KOH KOH MAMA MDOGO HIZO SODA ZORE ZAKO??

NYONGEZA TIME, MMMMH KUNA WANAWAKE WANAKULA JAMANI MWEEEEH

HANA WASI WASI ILA UMESHANUNUA SHAMBA?? MAANA BILA KILIMO KAZI IPO

NAOMBA KUSHTAKI, OLIVER KACHUKUA CHAKULA CHANGU WAKATI MM SIJASHIBA

MAMIE MWALI ANAKULA KIMISS

MMMH NA SODA JUU, ULIHEMEA WAPI??

WENGINE WALIKUWA WANAFANYA MAZOEZI YA KUFUKUZIA SAHANI ZA WALI

BAADA YA SHIBE MIUNO TYME, UTAJIJU KAMA WEWE KEKUU

KIMETOKELEZEAJE?? NO MOTOROLA BAPA KWA LEO KWI KWI KWI
SIJUI HATA ILIKUWAJE HATA MM NASHANGAA


MAPOZI.COM

HALAFU MAPOZI YENYEWE YA KALE ILA TULIENJOY SANAAAAA

BASI SAWAAA


NIMEMALIZAAAAAA


MORNING DELIGHT WITH MY PRINCESS OLIVER

MY ONE AND ONLY OLIVER, MISS YOU MAMAAA

KUNA WATU WAMAJUA KUWEKA MAPOZI KWENYE PICHA ZA WENZAOOO, ONA JAMAA WA DAR KWA NYUMA KULEEEE

I LOOOOVE THIS PICTURE, VERY CUTE

Tuesday, 10 September 2013

KILA LA KHERI AUNTY YANGU KATIKA MITIHANI YAKO YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

BENARDETA KALEKWA

KILA LA KHERI SHANGAZI YANGU NA MUNGU ASIMAMIE KILA UTAKACHOANDIKA KIWE SAHIHI. MITIHANI MEMA NA JITAHIDI KUTULIA NA KUFANYA LILILO SAHIHI. GOD BLESS YOU AUNTY.