Monday, 13 April 2015

YANGA AFRICA YANGA UMOJA WA MATAIFA........MALIZIA WEWEEEEE

Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akiwatoka Mabeki wa Timu ya Mbeya City wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1.

Kiungo Mchezeshaji wa timu ya Yanga, Haroun Niyonzima akiangalia kwa kupeleka mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1.
Kipa wa Mbeya City, Hanington Kalyesubula akiangalia mpira wavuni huku washabiki wa Yanga wakishangilia ushindi wao.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakisangilia ushindi ushindi na washabiki wao.
Picha na Othman Michuzi.

Friday, 10 April 2015

HAPPY BIRTHDAY SWEET SECKY

Happy Birthday to a true friend! You are such a special blessing to me and I want to wish you a birthday filled with love, laughter and the things you enjoy most.
 
 
I always wishes for a special friend who who'd be close to my heart. A wish came true when I met You! Happy Bday,my friend! May the year to come bring you only sweet surprises.


 

Thursday, 9 April 2015

YANGA BWANA, SASA NDIO NINI HIVYOOO? TAREHE 8 GOLI 8


Kiungo wa Yanga, Salum Telela, akimiliki mpira mbele ya
wachezaji wa Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Barauliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Yanga imeshinda 8-0
Simon Msuva akishangilia bao aliloifungia timu yake.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia.
Haruna Niyonzima akiruka kihunzi cha, Hamoud Abdulhalim.
Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Coastal Union.
Mwamuzi wa mchezo kati ya Yanga na Coastal Union ya Tanga,
Simon Mbelwa, akimpa ‘tano’ mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe, baada ya kuifungia
timu yake ‘hat trick’ na kukabidhiwa mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.
Amis Tambwe akipongezwa na kocha wake.
Amis Tambwe akipongezwa na mashabiki wa Yanga. Ukisema cha nini wenzio wanauliza watakipata lini
 
Amis Tambwe akichuana na mchezaji wa Coastal Union, Mohamed Ally.
 
PICHA: WILLIAM MALECHELA BLOG

Friday, 27 March 2015

NIMEIPENDA HII




 Huwezi amini unaweza ukakaa  na kustajabu  utakacho  kiona ila ndo dunia
na maajabu yake kikongwe huyu mwenye miaka 86 akionyesha pigo za kiujana bila wasi wasi na swagg kibao za mbelezz .
















CREDIT: LE MUTUZ