Tuesday 28 July 2015

MMMMMMMH SISI YETU MACHO TU NA HIZI SIASA ZA BONGO.

".....CCM kuongelea ubaya wa Lowassa kwa sasa ni sawa na mtu kujichungulia nyeti zake...Chadema kuongelea uzuri wa Lowassa kwa sasa ni sawa na mtu kujitekenya na kucheka mwenyewe....Vyote vinahitaji uso usio na soni"-Edo kumwembe.

No comments: