Thursday 4 October 2012

MMMH MAMBO YETU YALEEEE


Ikiwa inaelekea saa 12 jioni hakun hata dalili ya mimi kwenda home nimebaki na matamanio yangu ya tumbo tu. natamani kama hizo sahani zingekuwa mbele yangu kwa sasa na savanah barrrrrrrrridi.

WAPI JOYCE NA KATI YA ULITANZZZZZZZ

Binti pole pole khaaaaa

1 comment:

Anonymous said...

Mwili haujengwi kwa matofali babuuu!!! endeleeni kukandamiza tu.