Tuesday 23 July 2013

OUR SUNDAY, SPORTS DAY

Home, tukijiandaa kutoka kwenda uwanjani, kama wachezaji kweli vileeee

Wacha weeee

Utantakaaa

kicheko.com

koh koh koh mmeona pozi hilo??? tafsiri wewe

Delicious

basi nichum nikiss mwaaaaaaa

kitu kimebadilika, kama mchezaji kweli vileee

walijidaije sasa kwa kupata ushindi wa mezani? wakati wanawasubiri timu pinzani si wakawa wanarukaruka uwanjani, mwenzetu asirudi nyumbani mgonjwa wa viungo, me kichekoooo

the one and only refferee, msijali me sichezi nachezesha tu, chezea mie wewe??


kikazi zaidi

mmmmmh timu ya wenzetu


wapendezaje sasa? halafu hapo wachezaji wawili tu wa mbele na wa nyuma waliosimama. huyo wa kati hapo mama yangu weeeeee.

Mchana mwema wapendwa wangu


No comments: