Tuesday 27 November 2012

GOOD MORNING MY GOOD PEOPLE

Chibonge weeeeeeeee

Hi there, niacheni mnyamwezi wa watu nipige picha, mnanisalimia nini??

Ndo nshanuna sasa

basi hasira yangu imeisha, nabatasmu kiduuuuchu

Huyu camera man huyu sometimes simuelewi ujuee

Wacha wee pozi hilooo

Nywele zetu hizi za bei nafuuuu ila zimependeza mwakweru

Hapa ndo sikujua mpiga picha alikuwa na lengo gani me nimeikuta tu kwenye camera nami nimeitumia



Uso wenyewe ulivyo mbaya halafu kanuna, kaaazi kweli kweli

Afadhali kidogo

No comments: